Home Blog

Kansiime Anne the beggar – African Comedy.

0

What!!? U have not Subscribed yet??? Eh nga you are a RISK -TAKER!!
NOW NEW CLIPS EVERY WEEK!!!
pls also

Vituko vya Housegeli na Mama Mwenye Nyumba

1
Housegirl na mama mwenye nyumba

“Kichekesho cha msichana wa kazi za nyumbani na mama mwenye nyumba juu ya vijiti vya kusafishia meno.

jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vyote vimeisha, mnazipeleka wapi?”

Ndipo housegirl akadakia na kusema “Mama mimi simo humo maana kila nikimaliza kutumia tu navirudishiaga humo humo”

The housemaid interview – Kansiime Anne

0

What!!? U have not Subscribed yet??? Eh nga you are a RISK -TAKER!!
NOW NEW CLIPS EVERY TUESDAY AND FRIDAY!!!
pls also like me on facebook
https://www.facebook.com/pages/Kansiime-Anne-Entertainer/2637

Vichekesho vya kiswahili

0

Vichekesho – Search Media
http://www.eastafricantube.com/search/Vichekesho/
Tags: Afro Dance Group Vituko Vya Mjini Small Ataowa Maigizo Comedy Funny Laugh Mchezo Wa Kuigiza Kingwendu Vichekesho Vitimbi Tanzania Swahili

Franka Potente – Wikipedia, kamusi elezo huru
http://sw.wikipedia.org/wiki/Franka_Potente
Alianza kuonekana kwa mara ya kwanza katika vichekesho vya It’s a Jungle Out There (1995) na kuanza kupata kutambulika zaidi baada ya kucheza katika

 

Abby vichekesho.AVIAbby vichekesho.AVI
My niece is very funny. She’s describing how her cousins and uncles/ aunts sleep at night. It is in Kiswahili language.

 

kingwendukingwendu
vichekesho bongo ,artists from bongo

 

Ze comedy - jamani maisha magumuZe comedy – jamani maisha magumu
good

 

Mwanaharakati: January 2011Mwanaharakati: January 2011
http://bishophiluka.blogspot.com/2011_01_01_archive.html

 

Mwanaharakati: January 2011Mwanaharakati: January 2011
http://bishophiluka.blogspot.com/2011_01_01_archive.html

 

May 2011 ~ MTAA KWA MTAAMay 2011 ~ MTAA KWA MTAA
http://othmanmichuzi.blogspot.com/2011_05_01_archive.html

 

safe_image.php?d=AQC4jy2azb1gf ...safe_image.php?d=AQC4jy2azb1gf …
http://www.facebook.com/ChekaNaKitime

 

LIWAZO ZITO BLOG: November 2011LIWAZO ZITO BLOG: November 2011
http://liwazozito.blogspot.com/2011_11_01_archive.html

 

Swahili FlavourSwahili Flavour
http://swahiliflavour.blogspot.com/

 

Punguza stress cheka saaaanaaaaaaa - G5 worldPunguza stress cheka saaaanaaaaaaa – G5 world
http://www.g5click.com/profiles/blogs/punguza-stress-cheka-saaaanaaaaaaa

 

Meseji za Vichekesho Katika Ndoa

0
meseji za vichekesho

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.

Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.

Mwalimu akauliza tena, “Ni lini mara ya mwisho umemwambia mumeo “Nakupenda”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:

  1. Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
  2. Wengine jana,
  3. Wengine wiki iliyopita
  4. Wengine mwezi uliopita
  5. Na wengine wakasema hawakumbuki!

Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno “NAKUPENDA MPENZI”

Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.

Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Katika majibu hayo, meseji za vichekesho zilikuwa ni nyingi na kweli vichekesho vya ndoa ni nyingi kama ilivyosomwa katika hizo meseji, fuatilia hapa zaidi.

Simu ya 1 – “Samahani, nani mwenzangu”!

Simu ya 2 – “wrong number”!

Simu ya 3 – “samahani, umekosea namba”!

Simu ya 4 – “Si nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!

Simu ya 5 – “Mh! leo mvua itanyesha”!

Simu ya 6 – “Nikija tutaongea zaidi”!

Simu ya 7 – “……Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!

Simu ya 8 – “Me too”!

Simu ya 9 – “Huu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

Kichekesho Girlfriend na Boyfriend

0
Boyfriend Girlfriend

Jamaa mmoja handsome boy alikutana na binti tajiri ambaye alikuwa anaishi peke yake. Katika kufahamiana zaidi jamaa akaanguka kimapenzi kwa huyo binti

Siku moja wakiwa kitandani girlfriend akamwambia handsome wake hivi:

Girlfriend: Nikifa wewe ndio mrithi wa hotel yangu ya nyota tano

Boyfriend: Mungu apishe mbali hautakufa baby, kwa nini umesema hivyo?

Girlfriend: Mie ntakufa tu kwani nimeanza kukuzimia kimapenzi ile mbaya
 

Mpya