What!!? U have not Subscribed yet??? Eh nga you are a RISK -TAKER!!
NOW NEW CLIPS EVERY WEEK!!!
pls also
Kansiime Anne the beggar – African Comedy.
Vituko vya Housegeli na Mama Mwenye Nyumba
“Kichekesho cha msichana wa kazi za nyumbani na mama mwenye nyumba juu ya vijiti vya kusafishia meno.
jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vyote vimeisha, mnazipeleka wapi?”
Ndipo housegirl akadakia na kusema “Mama mimi simo humo maana kila nikimaliza kutumia tu navirudishiaga humo humo”
The housemaid interview – Kansiime Anne
What!!? U have not Subscribed yet??? Eh nga you are a RISK -TAKER!!
NOW NEW CLIPS EVERY TUESDAY AND FRIDAY!!!
pls also like me on facebook
https://www.facebook.com/pages/Kansiime-Anne-Entertainer/2637
Vichekesho vya kiswahili
Vichekesho – Search Media
http://www.eastafricantube.com/search/Vichekesho/
Tags: Afro Dance Group Vituko Vya Mjini Small Ataowa Maigizo Comedy Funny Laugh Mchezo Wa Kuigiza Kingwendu Vichekesho Vitimbi Tanzania Swahili …
Franka Potente – Wikipedia, kamusi elezo huru
http://sw.wikipedia.org/wiki/Franka_Potente
Alianza kuonekana kwa mara ya kwanza katika vichekesho vya It’s a Jungle Out There (1995) na kuanza kupata kutambulika zaidi baada ya kucheza katika …
Abby vichekesho.AVI
My niece is very funny. She’s describing how her cousins and uncles/ aunts sleep at night. It is in Kiswahili language.
kingwendu
vichekesho bongo ,artists from bongo
Ze comedy – jamani maisha magumu
good
Mwanaharakati: January 2011
http://bishophiluka.blogspot.com/2011_01_01_archive.html
Mwanaharakati: January 2011
http://bishophiluka.blogspot.com/2011_01_01_archive.html
May 2011 ~ MTAA KWA MTAA
http://othmanmichuzi.blogspot.com/2011_05_01_archive.html
safe_image.php?d=AQC4jy2azb1gf …
http://www.facebook.com/ChekaNaKitime
LIWAZO ZITO BLOG: November 2011
http://liwazozito.blogspot.com/2011_11_01_archive.html
Swahili Flavour
http://swahiliflavour.blogspot.com/
Punguza stress cheka saaaanaaaaaaa – G5 world
http://www.g5click.com/profiles/blogs/punguza-stress-cheka-saaaanaaaaaaa
Meseji za Vichekesho Katika Ndoa
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, “Ni lini mara ya mwisho umemwambia mumeo “Nakupenda”?
Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
- Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
- Wengine jana,
- Wengine wiki iliyopita
- Wengine mwezi uliopita
- Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno “NAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika
Katika majibu hayo, meseji za vichekesho zilikuwa ni nyingi na kweli vichekesho vya ndoa ni nyingi kama ilivyosomwa katika hizo meseji, fuatilia hapa zaidi.
Simu ya 1 – “Samahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – “wrong number”!
Simu ya 3 – “samahani, umekosea namba”!
Simu ya 4 – “Si nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 5 – “Mh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 6 – “Nikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 7 – “……Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 8 – “Me too”!
Simu ya 9 – “Huu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!
Kichekesho Girlfriend na Boyfriend
Jamaa mmoja handsome boy alikutana na binti tajiri ambaye alikuwa anaishi peke yake. Katika kufahamiana zaidi jamaa akaanguka kimapenzi kwa huyo binti
Siku moja wakiwa kitandani girlfriend akamwambia handsome wake hivi:
Girlfriend: Nikifa wewe ndio mrithi wa hotel yangu ya nyota tano
Boyfriend: Mungu apishe mbali hautakufa baby, kwa nini umesema hivyo?
Girlfriend: Mie ntakufa tu kwani nimeanza kukuzimia kimapenzi ile mbaya